Loading...

Ommy Dimpoz kampost Ali Kiba Instagram watu wakatukana, baadae akapost hii video

BOFYA HAPA CHINI UONE VIDEO YA KIUTU UZIMA
Ommy DMwimbaji Ommy Dimpoz wa bongofleva yamemfika hapaaa na ikapelekea aamue tu kutoa ya moyoni mwake baada ya kupost picha ya tangazo la video mpya ya Ali Kiba kuonyeshwa TRACE TV June 28 2015.
Sasa ndugu zangu tukipost kuhusu Wasanii wenzetu mnatukana, tukikaa kimya tuna roho mbaya…. tufanyeje?? matusi tu hamjali kama watu wana wazazi unamtukania mzazi mwingine kafa, lakini kwa taarifa yenu hainiumi ng’o‘ – Ommy Dimpoz
Mtazame hapa chini…
A video posted by Dimples Kwa pozzz (@ommydimpoz) on

Comments comments 2Post iliyoyaleta yote haya ni hii hapa chini ambayo ilikua inawapa taarifa watu wajiandae kuipokea video mpya ya ‘chekecha‘ ya Ali Kiba kupitia TRACE TV.
Ommy 2
BONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI; Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright NEWS TIME | Designed By TOLEOJIPYA.COM
Back To Top