Loading...
Home » Unlabelled » HII NDIO VIDEO ILIYOPIGWA MARUFUKU KUONESHWA KATIKA VITUO VYA TELEVISION KENYA...NI SHIDAA NDEMBE NDEMBE
HII NDIO VIDEO ILIYOPIGWA MARUFUKU KUONESHWA KATIKA VITUO VYA TELEVISION KENYA...NI SHIDAA NDEMBE NDEMBE
BOFYA HAPA CHINI UONE VIDEO YA KIUTU UZIMA
Kwenye Interview na millardayo.com Mustafa amethibitisha kwamba video yake mpya imefungiwa kuonyeshwa kwenye vituo vya TV kutokana na warembo walioonekana ndani yake, yani kutokana na mavazi waliyovaa na kujiachia.
Mustafa amesema hajajutia uamuzi wa kuifanya hiyo video na sio kitu kibaya kwake, mbona za kina Nicki Minaj zilizowazi kuliko hizi zinapigwa na vituo hivyohivyo vya TV Kenya? hii inakuwa sio video ya kwanza kutangazwa kutoonyeshwa kwenye TV, zilizotangulia ni ‘nishike’ ya Sauti Sol na You guy ya ‘P unit’
BONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI;
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich.
Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology.
She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music.
She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.


Post a Comment