Loading...

MKE WA H.BABA, FLORA MVUNGI AKWAA SKENDO CHAFU!

BOFYA HAPA CHINI UONE VIDEO YA KIUTU UZIMA
Staa wa filamu Bongo, Flora Mvungi. Sosi wa habari hii alisema kuwa, Flora baada ya kupokea fedha hizo za upatu aliendelea na shughuli zake kama kawaida lakini ilipofika zamu ya Christina kupokea aliingia mitini na kila alipokuwa akipigiwa simu alikuwa hapokei.
“Cha kushangaza sisi ni kundi lakini hata alipokuwa na sherehe yake juzikati hakutualika kisa kikiwa ni hizo hela, sisi tunamsihi kama mchezo umemshinda arudishe tu hela za watu,” alisema sosi aliyeomba hifadhi ya jina lake. 

Flora alitafutwa kwa njia ya simu ili kuzungumzia tuhuma hizo ambapo alipopatikana alishangazwa na kitendo cha habari hizo kufika gazetini kisha akakata simu. 
Mtangazaji Maimartha Jesse ambaye ndiye mweyekiti wa kikundi hicho alipotafutwa kufafanua madai hayo alisema: “Yaani haya mambo hayawahusu kabisa, ni mambo binafsi nawaomba muachane nayo.”
BONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI; Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright 2025 NEWS TIME | Designed By TOLEOJIPYA.COM