Loading...

Wema Sepetu afunga ndoa na Luis Munana wa Namibia!

BOFYA HAPA CHINI UONE VIDEO YA KIUTU UZIMA
Wema Sepetu amefunga ndoa kwa mara ya pili mwaka huu – kwenye movie bila shaka! Baada ya miezi kadhaa iliyopita kufunga ndoa kwenye movie na JB, Wema anaonekana kufanya movie nyingine tena ambayo anaishia kuwa mke wa mtu – at least kwa inavyoonekana kwenye Instagram. Awamu hii japo hajaweka wazi kama ni movie, Wema ameonekana kwenye picha na mshiriki wa Big Brother Africa The Chase Luis Munana wa Namibia. “Smile To Change Your World , BUT Don’t Let The World Change Your Smile,” ameandika Luis kwenye Instagram.

Kwenye picha nyingine ameandika: Faheem is happy! Faheem is at Peace ! #InShaAllah.” Wema pia amepost picha hizo kwenye akaunti yake na kuwaacha mashabiki wakiwa na majibu yanayotofautiana.

BONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI; Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright NEWS TIME | Designed By TOLEOJIPYA.COM
Back To Top