Loading...

Tunduma: Watu wakesha uwanjani wakimsubiri Lowasa

BOFYA HAPA CHINI UONE VIDEO YA KIUTU UZIMA


Hii ndiyo Tunduma bwana, Baada ya kusikia kwamba Lowassa, kipenzi na kiongozi wa Mabadiriko hapa Nchini atakuwepo hapa Tunduma leo hii mnamo kuanzia saa tisa alasiri, Wananchi wamekesha uwanja wa MAGEUZI (Zamani uwanja wa Dr Slaa) Shule ya Msingi Tunduma.

Polisi baada ya kusikia kwamba kunawatu wanakesha uwanjani, wakaenda kuwatawanya kwa Mabomu bila mafanikio, baadaye Viongozi wa Chadema wakaenda kuongea na Polisi na hatimaye wakafikia muafaka. hivyo kuwaruhusu watu kuendelea kukesha mpaka leo Asubuhi.

Kipande cha Barabara toka Kisimani mpaka Kanisani Roma, Kimepigwa Deki kinang'aa na kumeremeta kanakwamba ni Almasi mpya toka Dukani. Wafanyabiashara wanajiandaa kufunga Maduka yao ili kuhudhuria Mkutano huu wa Kihistoria ambao haujawahi kufanyika tangu Nchi yetu ipate Uhuru.

Uwanja wa Mageuzi unaonekana ni Mdogo, Kamati ya siasa ya Chadema inatakiwa kufika mapema ili kuwapanga watu ili kuzuia yale ya Tanga na Mwanza (Mungu Epushia mbali)

Kiufupi mji wa Tunduma UmezizimaBONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI; Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright NEWS TIME | Designed By TOLEOJIPYA.COM
Back To Top