Loading...

Taarifa Sahihi Baada ya Taarifa ya Kuwa Dr Mary Nagu Amekamatwa na Masanduku Kumi ya Kupiga Kura yakiwa na Karatasi za Kura zilizokwisha Pigwa

BOFYA HAPA CHINI UONE VIDEO YA KIUTU UZIMA


Taarifa ya awali ya uzushi iliyosambaa Mtandaoni:

Wakuu kwa habari za hivi punde kutoka Hanang ni kuwa Dr Mary Nagu amekamatwa na maboksi kumi ya kura yakiwa yashapigiwa kura tayari huko Hanang. Sasa hivi amekamatwa yupo Polisi,taarifa zaidi zinakuja.

TAARIFA SAHIHI:

JamiiForums imemtafuta RPC wa Mkoa wa Manyara, Christropher Fuime na kufahamishwa kuwa taarifa hizi ni za uwongo na zenye malengo ya kisiasa.

Masanduku yote ya kupigia kura yapo mikononi mwa mamlaka husika na hakuna mtu yeyote aliyekamatwa na sanduku la kura wala wao kama Polisi hawana taarifa toka jimbo lolote mkoani humo kuhusiana na hili.

Source:JF


Note: Epuka Kusambaza Taarifa zisozokuwa na uhakika wakati huu wa Uchaguzi Mkuu...BONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI; Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright NEWS TIME | Designed By TOLEOJIPYA.COM
Back To Top