Loading...

Lowasa Ajikanyaga kanyaga Leo Alipokua Akihojiwa na Zuhura Yunus wa BBC Swahili

BOFYA HAPA CHINI UONE VIDEO YA KIUTU UZIMA

Siasa zetu za hapa kwetu ambazo wakati mwingine wanasiasa wanawaandaa waandishi wa habari ili wawaulize maswali yakuwapendelea leo imekua tofauti baada ya mh Lowasa kukutana na maswali ya BBC na Kuyajibu juu juu bila kuingia kwa undani zaidi:

BBC:Mh Lowasa unasema kwamba utatoa elimu bure kuanzia chini mpaka chuo kikuu hizi pesa zitapatikana vp?
Jibu:Pesa zipo nyingi tu kwenye gesi,tuna madini....!
BBC:Lakini ulishakua waziri mkuu vp hili lilishindikanaje ukiwa waziri mkuu?
Jibu:Tulijenga shule za kata nyingi sana.
BBC:Lakini elimu haikua bure mh Lowasa?
Jibu:Nadhani unanionea.
mmmmmh!
Kesho atahojiwa Magufuli ndipo watu watatofautisha hawa wawili.
Kimsingi Lowasa ka fail kukutea hoja zake na jibu ni raisi tu kwamba hizi ni ahadi zisizotekelezeka ndio maana anashindwa kujieleza sawasawa.BONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI; Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright NEWS TIME | Designed By TOLEOJIPYA.COM
Back To Top