
Picha hiyo hapo juu ilienea mitandaoni ukimuonesha Freeman
Mbowe na Mkewe Wakibusiana Live ....Mbowe Ameongea haya Kuhusu Picha
hiyo :
“Kwanza
mke wangu alikuwa anatimiza umri wa miaka 50 ya kuzaliwa, vilevile
firstborn wetu Dudley alikuwa amemaliza shahada yake ya kwanza Chuo
Kikuu cha Sussex, Uingereza, kwa mambo hayo mawili, tuliona ipo haja ya
kufanya sherehe, ukizingatia watoto wetu wengine wawili Nicole na Denis
walikuwa wamerejea nchini kwa sababu nao wanasoma nje ya nchi.
“Siku hiyo ya tukio ilikuwa Jumapili, tulianza kwa kwenda kanisani
Azania Front tukatoa sadaka, baada ya hapo tulikwenda Serena Hotel
kwenye Ukumbi wa Kivukoni ambako chakula cha mchana kilikuwa
kimeandaliwa, tukajumuika na ndugu wengine pamoja na marafik
BONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI;
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich.
Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology.
She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music.
She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.


Post a Comment