Loading...

BREAKING NEWS: WAFUASI WA CCM NA CHADEMA WACHOMANA VISU TUNDUMA.... WATU WAWILI WAPOTEZA MAISHA

BOFYA HAPA CHINI UONE VIDEO YA KIUTU UZIMA  
Watu wawili wamefariki dunia baada ya vurugu kubwa kutokea kati ya wafuasi wa CCM na CHADEMA katika mji mdogo wa Tunduma Mkoani Mbeya.
Vurugu hizo zimetokea baada ya wanachama wa CCM kuweka mawe barabarani ili wafuasi wa CHADEMA wasipite kuhudhuria mkutano wa Lowassa.
Hali hiyo iliwafanya wafuasi wa CHADEMA kushuka ili kutoa mawe hayo, ndipo akatokea kijana mmoja wa CCM na kumchoma kisu kijana mmoja wa CHADEMA ambaye alifariki dunia papo hapo.
Baada ya tukio hilo, vijana wa CHADEMA nao walijibu mapigo kwa kumshambulia na kumuua kijana huyo. 

source - jamii forums


BONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI; Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright NEWS TIME | Designed By TOLEOJIPYA.COM
Back To Top