BOFYA HAPA CHINI UONE VIDEO YA KIUTU UZIMA
Kama wewe ni msichana na umeshavuka miaka 30 bado hujaolewa na wala huna
 mtu wa kueleweka ambaye amejitambulisha kwenu tambua kwamba una hali 
mbaya.
Wasichana wengi siku hizi wamekua na tabia ya kupenda vitu vya anasa 
hali inayopelekea sisi wanaume kuwaogopa kama ukoma.Mfano kutaka 
kufanyiwa shopping za bei mbaya,kumiliki simu za gharama zinazoanzia 
milioni moja na kuendelea,kupenda kuwa na mwanaume mwenye mshahara 
unaoanzia milioni tatu kwa mwezi na kuendelea n.k
Hali hii inasababisha hata sisi wenye kipata cha laki saba kushuka chini
 tuwaogope kwa kuamimini kwamba hatuna uwezo wa kukidhi mahitaji yenu 
hatimaye mnajikuta mnazeekea nyumbani kutaamakitaamaki miaka 45 hii hapa
 ambapo ndo kipindi cha menopause kwa mwanamke yeyote.
Msipende mteremko sababu hata huyo mwenye magari,majumba na kipato 
kikubwa hujui ametumia njia gani mpaka kupata hivyo vitu.Starehe hazina 
mwisho hivyo unapobweteka na starehe fahamu kwamba fainali uzeeni muda 
ndio refa.
Aliesikia na asikie na alieamua kupuuzia na apuuzieBONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI;
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich.
Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology.
She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music.
She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.
Loading...



 
 
 
 
 
 
Post a Comment