Loading...

Hii ndo kauli ya January Makamba baada ya kujua hakuingia 3 bora ya Urais.

BOFYA HAPA CHINI UONE VIDEO YA KIUTU UZIMA
Makamba 1January Makamba ni miongoni mwa waliojitokeza kuomba ridhaa ya chama cha mapinduzi CCM kuteuliwa kukiwakilisha chama kwenye kugombea Urais wa Tanzania 2015 ambapo alitajwa kwenye mchujo wa kwanza wa tano bora pamoja na Bernard Membe, Amina Salum, Asharose Migiro na John Magufuli.
Ilipofika time ya tatu bora alipata taarifa kwamba hajapita kwenye mchujo wa kwanza ambapo sekunde chache baadae aliandika yafuatayo >>> ‘Matokeo rasmi ya wana-CCM watatu watakaondelea na mchakato yatatolewa punde. Hatumo. Lakini nina fahari kubwa na kampeni yetu na timu yetu’
WATATU CCM
Orodha ya tatu bora ambayo mmoja wao atatangazwa kesho kuibeba bendera ya CCM.
Hatujapoteza uchaguzi kwasababu mimi na vijana niliokuwa tumejifunza mengi na tumejenga undugu. Tumepambana na matakwa ya Mungu yametimia, nawashukuru wote mliotuunga mkono. Mlitupa nguvu. Nawashukuru pia mliotupinga na kutukosoa. Mlitusaidia kujitazama na kujirekebisha‘ – January MakambaBONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI; Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright NEWS TIME | Designed By TOLEOJIPYA.COM
Back To Top