BOFYA HAPA CHINI UONE VIDEO YA KIUTU UZIMA
Member of Parliament for Mpanda Urban through CHADEMA  tickets said he quit the party.
  Arfi has said it yesterday when interviewed by the mwananchi  newspaper .
Recently
 he interviewed and EATV said "the Constitution of CHADEMA accept the 
constitution of my party, but there are provisions I agree '.
=======================================
Mbunge wa Mpanda Mjini kupitia tiketi ya Chama cha Demkrasia na Maendeleo CHADEMA amesema amejiondo katika chama hicho.
 Arfi ameyasema hayo jana wakati akihojiwa na gazeti la mwananchi.
Hivi
 karibuni akihojiwa na EATV alisema “Katiba ya CHADEMA naikubali kama 
katiba ya chama changu, lakini kuna vifungu sikubaliani navyo'amesema 
Arfi.
Mbunge
 huyo pia alisema  kuwa hakubaliani na maamuzi ya chama hicho ya 
kumfukuza uanachama aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe kwa
 kukiuka kifungu hicho tena bila kufuata utaratibu za vikao.
“Hata kama Zitto alikosea, ilikuwa ni lazima vikao halali vya chama vikae ndiyo viamue, siyo kwa utaratibu uliotumika”
Akizungumzia
 msimamo wake ndani ya chama hicho, Arfi amesema kuwa yeye bado ni 
mwanachama hai wa CHADEMA kwa kuwa bado chama hicho hakijamfukuza, na 
kukiri kuwa aliingia katika mgogoro na viongozi wenzake wakati akiwa 
Makamu Mwenyekiti wa chama hicho kutokana na kutokubaliana na mwenendo 
wa baadhi ya viongozi wakuu wa chama hicho.
“Ni
 kweli tulikuwa na mgogoro uliotokana na mimi kutokubaliana na mwenendo 
wa viongozi na nikaamua kujiuzulu nafasi yangu, kwa sasa hatuna tatizo 
tena”
Kuhusu
 uwezekano wa chama hicho kumfukuza, Arfi amesema kuwa hana tatizo 
endapo atafukuzwa uanachama, na kwamba hawezi kusubiri kufukuzwa ndani 
ya chama hicho, isipokuwa “nitatafakari kabla ya kumalizika kwa mkutano 
wa Bunge na nitafanya maamuzi kama ninatosha kuendelea kuwa CHADEMA, 
maamuzi yangu nitayatangaza kabla Bunge halijakwisha”
Arfi
 ametetea uamuzi wake wa kuendelea kubaki ndani ya Bunge Maalum la 
Katiba na kusema kuwa alikwenda bungeni kuliwakilisha taifa na siyo 
chama. “Sikwenda katika bunge lile kuiwakilisha CHADEMA”
Amesema
 msimamo wake ni kuipinga Katiba Inayopendekezwa, kwa kuwa haijajengwa 
katika misingi ya muundo wa muungano wa serikali tatu.
Kuhusu
 Uchaguzi ujao, Arfi amesema kuwa bado hajaamua kugombea, lakini kama 
CHADEMA wakiamua kumfukuza, atawaachia wananchi wa Mpanda wampe muongozo
 juu ya nini cha kufanya na ni chama gani ataenda kugombeBONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI;
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich.
Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology.
She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music.
She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.
Loading...


 
 
 
 
 
 
Post a Comment