BOFYA HAPA CHINI UONE VIDEO YA KIUTU UZIMA

Shemeji
 yetu Zari ambaye ni mrembo kutoka Uganda ambaye toka amekua mapenzini 
na Mtanzania staa wa bongofleva Diamond amekua akipokea comments 
tofautitofauti kwenye page yake ya Instagram, June 28 2015 ameamua 
kuyaandika haya tena mengine kwa kutumia lugha ya kiswahili baada ya 
kushindwa kuvumilia.
Waliomkasirisha ni wale wanaokosoa uvaaji wake na kuendelea kumfatilia ambapo alianza kwa kuandika >>>’
Mnikome,
 maisha yangu yanakuhusu nini wewe, nayako hayanihusu mimi kabisa ata 
kidogo….oh sijui high heels, mara nguo imembana, sijui anapikia 
heels,pili pili hujakula wewe inaakuwashia nini? Mvae madera zenu mfunge
 mkanda mpite kimya kimya. Kwanini unastress????‘

Hii ndio picha aliyoiambatanisha na hayo maneno.
 
Ameendelea kwa kuandika mengine kwa kiingereza na nitatafsiri kwa wino mwekundu>>> ‘
HAYA
 NI MAISHA YANGU na sasa your all Gods’ judges now…. how many people do 
we know that wear hijab but have very dirty ugly hearts? (ni watu wangapi tunawajua wanavaa Hijab lakini mioyo yao sio misafi? 
ni wangapi wenu mnaigiza kuwa wasafi kwenye hizi siku 30 lakini miezi 11 iliyobaki ni waovu? )
How many of you act so straight for these 30 days but the last 11 months your the worst monsters this world has ever seen’ 

Kwenye sentensi nyingine kaandika >>> ‘Now u wana come here and judge my faith by the dress???? 
(sasa mnakuja kujudge imani yangu kutokana na nguo? Allah bless all of you….atleast I ain’t acting snitchy, am being ME. And oh

,
 if you happen not to like what you see in ur news feed (my page) U 
always have 3 options, Block yourself, unfollow ama fast forward coz if 
your still following na you exercise your fingers kuwakya matusi page 
yangu, babe your just an obsessed fan if not a confused admirer 
dah majirani Habari nakazi mnayo……like I always say, no bad vibes from me. So stay blessed
BONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI;
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich.
Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology.
She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music.
She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.
Sunday, June 28, 2015
 
Post a Comment