Baada ya Fuse ODG kutweet akisema sababu zilizomfanya asihudhurie utolewaji wa tuzo hizo, Wizkid naye amesema hatakuwa akihudhuria pre-shows na nominee parties kama utaratibu wa kuwapa tuzo wasanii wa Africa mapema kabla ya show yenyewe (saa 4 asubuhi) backstage utaendelea.
Alianza kwa kutweet:
“Lol, nasikia BET wamemaind kwa sababu sikuhudhuria pre-shows na Interviews! LOl”
Wizkid ameongeza kuwa utaratibu wa kuwabagua wasanii wa Afrika katika tuzo hizo ndio ilikuwa sababu ya kutohudhuria hata aliposhinda tuzo ya BET kwa mara ya kwanza.
Ameongeza kuwa hiyo ndio sababu kubwa pia ya kutopost kitu katika mitandao ya kijamii kuhusu nominations au tuzo hizo kwa ujumla sababu yeye hajali.
Hizi ndio tweet zake:
BONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI; Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.







Post a Comment