@babutale @salaam_sk @officialalikiba
Umefika
wakati wa babutale na salim kumsaidia mdogo wenu ali # haijalishi
aliwakosea kwa kiasi gani au mnasahau maneno ya wahenga kua mtoto
akinyea mavi mkono wako hauukati bali unausafisha tu.
Sasa huu ni
wakati wa kuhamisha nguvu mlizo kua mnaziweka kwa dai mziweke na kwa ali
kiba kwani kwa sasa kila kitu kiko wazi kua mipango na management yenye
maana ndio nguzo pekee ya kufika mbali kwa mziki wa watanzania.
Huu sio wakati wa kuvimbishiana misuli na kuanza kujinadi wakati ukweli wa mambo uko wazii#
BONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI;
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich.
Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology.
She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music.
She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.
Post a Comment