Loading...

UMEFIKA WAKATI WA BABU TALE NA SALIM KUMSAIDIA MDOGO WENU ALI KIBA..HAIJALISHI ALIWAKOSEA KIASI GANI..HUU SIO WAKATI WA KUVIMBISHIANA MISULI

BOFYA HAPA CHINI UONE VIDEO YA KIUTU UZIMA

Tafadhali naomba mnisikilize saaana #
@babutale @salaam_sk @officialalikiba
Umefika wakati wa babutale na salim kumsaidia mdogo wenu ali # haijalishi aliwakosea kwa kiasi gani au mnasahau maneno ya wahenga kua mtoto akinyea mavi mkono wako hauukati bali unausafisha tu.
Sasa huu ni wakati wa kuhamisha nguvu mlizo kua mnaziweka kwa dai mziweke na kwa ali kiba kwani kwa sasa kila kitu kiko wazi kua mipango na management yenye maana ndio nguzo pekee ya kufika mbali kwa mziki wa watanzania.
Huu sio wakati wa kuvimbishiana misuli na kuanza kujinadi wakati ukweli wa mambo uko wazii#
BONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI; Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright 2025 NEWS TIME | Designed By TOLEOJIPYA.COM
Back To Top