MSANII OMMY DIMPOZI UMESHUKA KIMUZIKI SANA TAFADHALI JIPANGE UPYA KABLA HUJAPOTEA KABISA..
KWA MIAKA YA HIVI KARIBUNI KAMA MITATU
NYUMA OMMY ALIKUWA JUU SANA KIMUZIKI SASA SIJUI ALILEWA SIFA KWANI
ALIKUWA NI MTU AMBAYE TULIMTEGEMEA KUTUWAKILISHA KIMATAIFA
VYEMA...LAKINI SASA KUMBE MSANII ALILEWA SIFA AKABWETEKA NDO UFIKIA HAPA
ALIPO SASA....
HAKIKA KATIKA TUZO ZA KILI ULITOA SHOW
MBAYA AMBAYO ILIMUACHA KILA MTU NA MASWALI MENGI KAMA NDO HUYU OMMY
DIMPOZI WANAYE MFAHAMU KWANI SHOW ILIKUWA MBAYA KUPINDUKIA...HAYA NI
MAONI YA WADAU WA MTANDAO WA THECHOICE NA MASHABIKI WAKO WAKUBWABONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI;
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich.
Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology.
She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music.
She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.


Post a Comment