Wachezaji na makocha wa Mwadui FC
wamenusurika kifo baada ya gari walilokuwa makiendesha kuelekea
Shinyanga kupata ajali na kupinduka mara tano kabla ya kusimama.
Wachezaji walionusurika kwenye ajali hiyo ni golikipa Shabani Kado pamoja na kiungo Nizar Khalfan.
Wachezaji hao wakiwa na makocha
Habib Kondo na Khalid ( kocha wa makipa) walikuwa njiani kwenda kujiunga
na kambi ya timu yao ya Mwadui FC.
“Sababu ya gari kupinduka ilikuwa
ni baada ya tairi la nyuma kuchomoka,baada ya hapo gari ilipinduka
karibia mara tano,hatukuumia sana isipokuwa mimi tu nilipata michubuko
kwenye mkono”, Shabani Kado ameuambia mtandao huu.
BONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI;
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich.
Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology.
She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music.
She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.


Post a Comment