Loading...

AJALI ...AJALI....Ajali mbaya katika eneo la King'ori Mkoani Kilimanjaro

BOFYA HAPA CHINI UONE VIDEO YA KIUTU UZIMA Ajali mbaya imetokea usiku huu mbele ya eneo la King'ori Mwanga mkoani Kilimanjaro (Haijafahamika mara moja kuwa kuna majeruhi wa ngapi/vifo).

Inadaiwa kuwa dereva wa gari alikuwa na mpenzi wake na walikuwa wanaendelea na mambo yao hadi dereva akajisahau na kugonga jiwe lililokuwa pembezoni mwa barabara na gari kupinduka kama linavyoonekana kwenye picha.

Kwa taarifa zaidi na maelezo ya kina tutayapata baadae au asubuhi.


Name:  ajali.jpg
Views: 0
Size:  82.2 KB
BONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI; Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright NEWS TIME | Designed By TOLEOJIPYA.COM
Back To Top