Binadamu tuliumbwa kuishi katika misingi ya ubinadamu na sio unyama
kama waishivyo wanyama wa porini leo naomba kusema kutoka moyoni
mwangu.. Najua kabisa nina wazazi wangu ndugu zangu na zaidi sana Mungu
wangu ila kuna watu mpaka nakufa kamwe sintowasahau katika kuta za moyo
wangu katika kipindi changu kigumu nilichopitia mlikuwa nembo namboni
kubwa katika kuokoa maisha yangu...
Napenda kusema kuwa hata kwa haya yote tunayopitia bado ni madogo sana kuficha thamani yenu mliyoijenga juu yangu.
Nakumbuka sana mlipojitoa kwa ajili yangu mlipojinyima kwa ajili
yangu mlipopigana kwa ajili yangu,mlivyofedheheka kwa ajili yangu yote
hayo nayakumbuka na namshukuruu mungu kwani naona kabisa mliletwa
duniani kwa sababu nyingi na moja ya sababu ilikuwa kuniokoa katika
kipindi kigumu katika maisha yangu.
BONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI;
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich.
Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology.
She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music.
She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.
Post a Comment