BOFYA HAPA CHINI UONE VIDEO YA KIUTU UZIMA
Mgombea mwenza wa CHADEMA Juma Duni Haji amezuiwa kuingia katika chumba
cha kutangazia matokeo ya urais katika ukumbi wa Julius Nyerere wakati
zoezi hilo likiendelea baada ya kueleza kuwa ameleta hati ya pingamizi
ya matokeo.
Hata hivyo walinzi wa eneo la kutangazia matokeo walimkatalia kuingia
katika chumba hicho na kumtaka aende Makao Makuu ya Tume ya Taifa ya
Uchguzi (NEC) kuwasilisha hati yake hiyo na kisha kusindikizwa kwenye
gari alilokuja nalo lenye namba T754 DDY aina ya Toyota.
Quote:
What we have, what we wish we had - ambitions fulfilled, ambitions
disappointed, investments won, investments lost, elections won,
elections lost - these things may occupy our attention, but they do not
define us.
By Mitt RomneyBONYEZA HAPO UONE VIDEO YA MTOTO MKALI;
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich.
Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology.
She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music.
She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.
Loading...
Home » Unlabelled » Mgombea mwenza wa CHADEMA Juma Duni Haji Akatazwa Kuingia katika Chumba cha Kutangazia Matokeo ya Urais
Post a Comment